Saturday 18 October 2014

On 23:05 by Unknown   No comments

TANGAZO

JUKWAA LA TIBA ASILI TANZANIA KUSHIRIKIANA NA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII NA MAMLAKA YA MAENDELEO YA BIASHARA TANZANIA (TANTRADE), LIMEANDAA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA TIBA ASILI YA MWAFRIKA YATAKAYOFANYIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM KUANZIA NOVEMBA 16 -23, 2014. WATOA HUDUMA YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA PAMOJA NA WANANCHI WOTE MNAKARIBISHWA KUPATA HUDUMA NA MAARIFA YA TIBA ASILI.
LENGO LA MAONYESHO HAYO NI KUWALETA PAMOJA WATAALAMU NA WADAU MBALIMBALI WA TIBA ASILI BARANI AFRIKA KUJENGA MTANDAO WA PAMOJA KATIKA KUBORESHA HUDUMA YA TIBA ASILI.
MAONYESHO HAYO YAKO WAZI KWA WAFANYABIASHARA NA KAMPUNI NYINGINE ZITAKAZOTAKA KUSHIRIKI.
KWA MAWASILIANO PIGA SIMU NAMBA

0 comments:

Post a Comment

Mkurugenzi wa Kampuni ya Boresa na Mwenyekiti wa Jukwaa la Tiba Asili Tanzania Tabibu Boniventura Mwalongo akitoa salam za pongezi kumpongeza Mhe. DKT John Pombe Joseph Magufuli kwa Kuchaguliwa Kuwa Raisi wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mnamo tarehe 5 Novemba 2015 katika sherehe za kuapishwa kwa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli

kipanya

Popular Posts