Monday, 4 August 2014
On 11:04 by Unknown No comments
Maadhimisho ya siku ya Mwanamke wa Afrika yaliyo ratibiwa na -WiLDAF yafana jijini Dar es salaam
Maadhimisho
ya siku ya Mwanamke wa Afrika yaliyo ratibiwa na Women in
Law and Development in Africa-WiLDAF yafana jijini Dar es salaam. Ni
siku ya Mwanamke wa Afrika na husheherekewa kila mwaka tarehe 31
July toka ilipotamkwa rasmi mwaka 1963 July 31 na wanawake wa Pan
African waliokutana Dar es Salaam kwa wakati huo.Mada mbalimbali
zilitolewa ikiwemo mchakato mzima wa katiba mpya na changamoto zake.
Kulikuwa na watoa mada mbalimbali wakiwemo Dr Khoti Kamanga na Mh.
Getrude Mongela.


Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Boresa na Mwenyekiti wa Jukwaa la Tiba Asili Tanzania Tabibu Boniventura Mwalongo akitoa salam za pongezi kumpongeza Mhe. DKT John Pombe Joseph Magufuli kwa Kuchaguliwa Kuwa Raisi wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mnamo tarehe 5 Novemba 2015 katika sherehe za kuapishwa kwa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
kipanya
Popular Posts
-
TUJIKUMBUSHE YALE MAAJABU SABA YA DUNIA YA MWAKA 2007 Na...
-
habari zilizotufikia,Samaki huyu adimu kabisa duniani kumtia machoni ameonekana amefariki ama amekufa...
-
WAGANGA na wakunga wa tiba asili ni miongoni mwa watoa huduma za afya mbadala nchini ambapo wanaongozwa na sheria...
-
WATAALAMU WA TIBA ASILI WAKUTANA CHINI YA JUKWAA MOJA; WAONYESHA UMAHIRI KATIKA TIBA ASILI NA MBADALA Mratibu...
-
FAHAMU KUHUSU TIBA A SILIA YA KUUNGANISHA MIFUPA Watu wengi wanao pata ajali za barabarani na ...
-
WASHIRIKI katika Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Tiba Asili ya Mwafrika yatakayofanyika Viwanja vya Mnazi...
-
Archeological and modern genetic evidence suggest that human populations have migrated into...
-
AGOSTI 31 mwaka huu kulikuwa na Maadhimisho ya Siku ya Tiba Asili ya Mwafrika yaliyofanyika Zanzibar katika...
-
· Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa · Afisa Maendeleo wa Mtaa · Mwenyekiti wa Kamati ya...
Search
translate
NITUMIE EMAIL HAPA
Total Pageviews
66326
0 comments:
Post a Comment